Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Atasimama mbele ya kuhani Eleazari, ambaye atatumia Urimu+ kujua uamuzi wa Yehova kwa niaba yake. Kwa agizo lake, yeye na Waisraeli wote na watu wengine wote watatoka, na kwa agizo lake wataingia ndani.”

  • Waamuzi 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi Finehasi+ mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, alikuwa akihudumu* mbele ya sanduku hilo siku hizo. Wakamuuliza, “Je, twende tena kupigana na ndugu zetu Wabenjamini, au tusiende?”+ Yehova akawajibu hivi: “Nendeni, kwa sababu kesho nitawatia mikononi mwenu.”

  • 1 Samweli 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Daudi akamuuliza Yehova:+ “Je, niende nikawaue Wafilisti hawa?” Yehova akamwambia Daudi: “Nenda, waue Wafilisti hao na kuokoa Keila.”

  • 1 Samweli 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Je, viongozi* wa Keila watanitia mikononi mwake? Je, Sauli atashuka kuja hapa kama mimi mtumishi wako nilivyosikia? Ee Yehova Mungu wa Israeli, tafadhali nijulishe mimi mtumishi wako.” Ndipo Yehova akamwambia: “Atashuka.”

  • 1 Samweli 28:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ingawa Sauli alikuwa akimwomba Yehova ushauri,+ Yehova hakumjibu kamwe, iwe ni katika ndoto au kwa Urimu+ au kupitia manabii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki