-
2 Samweli 2:4, 5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Kisha wanaume wa Yuda wakaja, na huko wakamtia mafuta Daudi awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.+
Wakamwambia Daudi: “Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.” 5 Basi Daudi akawatuma wajumbe kwa watu wa Yabesh-gileadi na kuwaambia: “Yehova na awabariki, kwa sababu mlimtendea bwana wenu, Sauli, kwa upendo mshikamanifu kwa kumzika.+
-