Kutoka 23:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana malaika wangu atawatangulia na kuwapeleka katika nchi ya Waamori, Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi, na Wayebusi, nami nitawaangamiza.+ Yoshua 15:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Lakini watu wa kabila la Yuda hawakuwafukuza+ Wayebusi+ waliokuwa wakikaa Yerusalemu,+ basi tangu wakati huo Wayebusi wanakaa Yerusalemu pamoja na watu wa kabila la Yuda. Waamuzi 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha watu wa Yuda wakashambulia jiji la Yerusalemu+ na kuliteka; wakawaua wakaaji wake kwa upanga na kuliteketeza jiji. Waamuzi 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini Wabenjamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu, kwa hiyo Wayebusi wanakaa na Wabenjamini jijini Yerusalemu mpaka leo.+
23 Kwa maana malaika wangu atawatangulia na kuwapeleka katika nchi ya Waamori, Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi, na Wayebusi, nami nitawaangamiza.+
63 Lakini watu wa kabila la Yuda hawakuwafukuza+ Wayebusi+ waliokuwa wakikaa Yerusalemu,+ basi tangu wakati huo Wayebusi wanakaa Yerusalemu pamoja na watu wa kabila la Yuda.
8 Kisha watu wa Yuda wakashambulia jiji la Yerusalemu+ na kuliteka; wakawaua wakaaji wake kwa upanga na kuliteketeza jiji.
21 Lakini Wabenjamini hawakuwafukuza Wayebusi waliokaa Yerusalemu, kwa hiyo Wayebusi wanakaa na Wabenjamini jijini Yerusalemu mpaka leo.+