Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hata hivyo, hapaswi kujipatia farasi wengi+ au kuwafanya watu warudi Misri kuchukua farasi wengi zaidi,+ kwa kuwa Yehova aliwaambia hivi: ‘Msirudi huko tena kamwe kupitia njia hii.’

  • Zaburi 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wengine hutegemea magari ya vita na wengine farasi,+

      Lakini sisi tunaliitia jina la Yehova Mungu wetu.+

  • Zaburi 33:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Farasi ni tumaini la uwongo la wokovu;*+

      Nguvu zake nyingi hazimhakikishii mtu kwamba ataponyoka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki