Waamuzi 6:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Siku hiyo akamwita Gideoni jina Yerubaali,* akisema, “Acheni Baali ajitetee mwenyewe, kwa sababu mtu fulani amebomoa madhabahu yake.” Waamuzi 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Yerubaali, yaani, Gideoni,+ na watu wote waliokuwa pamoja naye wakaamka mapema na kupiga kambi karibu na Chemchemi ya Harodi, nayo kambi ya Wamidiani ilikuwa bondeni* upande wa kaskazini wa kambi yao karibu na kilima cha More.
32 Siku hiyo akamwita Gideoni jina Yerubaali,* akisema, “Acheni Baali ajitetee mwenyewe, kwa sababu mtu fulani amebomoa madhabahu yake.”
7 Ndipo Yerubaali, yaani, Gideoni,+ na watu wote waliokuwa pamoja naye wakaamka mapema na kupiga kambi karibu na Chemchemi ya Harodi, nayo kambi ya Wamidiani ilikuwa bondeni* upande wa kaskazini wa kambi yao karibu na kilima cha More.