2 Samweli 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kisha Daudi akawatuma wajumbe wamlete.+ Basi akaja kwa Daudi, naye Daudi akalala naye.+ (Wakati huo mwanamke huyo alikuwa akijitakasa uchafu wake.*)+ Kisha, mwanamke huyo akarudi nyumbani kwake. 2 Samweli 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika barua hiyo, Daudi aliandika hivi: “Mwekeni Uria kwenye mstari wa mbele mahali ambapo vita ni vikali zaidi. Kisha mmwache na kurudi nyuma yake ili apigwe na kuuawa.”+
4 Kisha Daudi akawatuma wajumbe wamlete.+ Basi akaja kwa Daudi, naye Daudi akalala naye.+ (Wakati huo mwanamke huyo alikuwa akijitakasa uchafu wake.*)+ Kisha, mwanamke huyo akarudi nyumbani kwake.
15 Katika barua hiyo, Daudi aliandika hivi: “Mwekeni Uria kwenye mstari wa mbele mahali ambapo vita ni vikali zaidi. Kisha mmwache na kurudi nyuma yake ili apigwe na kuuawa.”+