-
Yoshua 10:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Ni siku hiyo, siku ambayo Yehova aliwashinda kabisa Waamori mbele ya Waisraeli, ndipo Yoshua alipomwambia hivi Yehova mbele ya Waisraeli:
-
-
Yoshua 18:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Na majiji ya kabila la Benjamini kulingana na koo zao yalikuwa: Yeriko, Beth-hogla, Emek-kesisi,
-