Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ni siku hiyo, siku ambayo Yehova aliwashinda kabisa Waamori mbele ya Waisraeli, ndipo Yoshua alipomwambia hivi Yehova mbele ya Waisraeli:

      “Jua, simama tuli+ juu ya Gibeoni,+

      Na mwezi, juu ya Bonde la* Aiyaloni.”

  • Yoshua 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na majiji ya kabila la Benjamini kulingana na koo zao yalikuwa: Yeriko, Beth-hogla, Emek-kesisi,

  • Yoshua 18:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Gibeoni,+ Rama, Beerothi,

  • Yoshua 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hivyo Waisraeli wakawapa Walawi majiji hayo na malisho yake kwa kura kama Yehova alivyokuwa ameamuru kupitia Musa.+

  • Yoshua 21:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na katika eneo la kabila la Benjamini: Gibeoni+ na malisho yake, Geba na malisho yake,+

  • 2 Samweli 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Walipokaribia jiwe kubwa lililoko Gibeoni,+ Amasa+ akaja kuwapokea. Sasa Yoabu alikuwa amevaa mavazi yake ya vita, naye alikuwa ametia upanga katika ala yake na kuufungia kiunoni. Aliposogea mbele, upanga huo ukaanguka.

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha Sulemani na Waisraeli wote wakaenda mahali pa juu kule Gibeoni,+ kwa maana hema la mkutano la Mungu wa kweli lilikuwa huko, hema ambalo Musa mtumishi wa Yehova alitengeneza nyikani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki