4 Mfalme alienda Gibeoni kutoa dhabihu huko, kwa maana ndipo palipokuwa mahali maarufu* zaidi pa juu.+ Sulemani alitoa dhabihu 1,000 za kuteketezwa juu ya madhabahu hiyo.+
29 Hata hivyo, lile hema la ibada la Yehova ambalo Musa alikuwa ametengeneza nyikani na ile madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa vilikuwa mahali pa juu kule Gibeoni wakati huo.+