Mathayo 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage kwenye Mlima wa Mizeituni, Yesu akawatuma wanafunzi wawili,+ Mathayo 24:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakamuuliza: “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo*+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”*+ Matendo 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha wakarudi Yerusalemu+ kutoka kwenye Mlima wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, umbali wa safari ya siku ya sabato.
21 Walipokaribia Yerusalemu na kufika Bethfage kwenye Mlima wa Mizeituni, Yesu akawatuma wanafunzi wawili,+
3 Alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wakamkaribia faraghani, wakamuuliza: “Tuambie, mambo haya yatatukia lini, na ni nini itakayokuwa ishara ya kuwapo*+ kwako na ya umalizio wa mfumo wa mambo?”*+
12 Kisha wakarudi Yerusalemu+ kutoka kwenye Mlima wa Mizeituni, ulio karibu na Yerusalemu, umbali wa safari ya siku ya sabato.