Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 11:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Walipokuwa wakikaribia Yerusalemu, Bethfage na Bethania+ kwenye Mlima wa Mizeituni, akawatuma wawili kati ya wanafunzi wake,+ 2 akawaambia: “Nendeni katika kijiji mtakachokiona, na mara tu mtakapoingia mtamwona mwanapunda akiwa amefungwa, ambaye hakuna mtu amewahi kuketi juu yake. Mfungueni na kumleta. 3 Mtu yeyote akiwauliza, ‘Kwa nini mnamfungua?’ mwambieni, ‘Bwana anamhitaji, na atamrudisha hapa mara moja.’”

  • Luka 19:28-31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Baada ya Yesu kusema hayo, akapanda kuelekea Yerusalemu. 29 Alipokaribia Bethfage na Bethania kwenye Mlima wa Mizeituni,+ akawatuma wawili kati ya wanafunzi,+ 30 akisema: Nendeni katika kijiji mtakachokiona, na mtakapoingia mtamwona mwanapunda akiwa amefungwa, ambaye hakuna mtu amewahi kuketi juu yake. Mfungueni na kumleta. 31 Lakini mtu akiwauliza, ‘Kwa nini mnamfungua?’ Mwambieni, ‘Bwana anamhitaji.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki