2 Samweli 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hushai+ Mwarki,+ rafiki ya* Daudi, alipoingia kwa Absalomu, alimwambia hivi Absalomu: “Mfalme na aishi muda mrefu!+ Mfalme na aishi muda mrefu!” 1 Mambo ya Nyakati 27:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ahithofeli+ alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai+ Mwarki alikuwa rafiki ya* mfalme.
16 Hushai+ Mwarki,+ rafiki ya* Daudi, alipoingia kwa Absalomu, alimwambia hivi Absalomu: “Mfalme na aishi muda mrefu!+ Mfalme na aishi muda mrefu!”