31 Kisha Barzilai+ Mgileadi akashuka kutoka Rogelimu mpaka Yordani ili amsindikize mfalme hadi Yordani. 32 Barzilai alikuwa mzee sana, mwenye umri wa miaka 80, naye alimpa mfalme chakula alipokuwa akikaa Mahanaimu,+ kwa maana alikuwa tajiri sana.
7 “Lakini watendee wana wa Barzilai+ Mgileadi kwa upendo mshikamanifu, nao wanapaswa kuwa miongoni mwa wale wanaokula mezani pako, kwa maana hivyo ndivyo walivyonisaidia+ nilipomkimbia Absalomu ndugu yako.+