2 Samweli 19:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na Barzilai alikuwa mzee sana, akiwa na umri wa miaka 80;+ naye alimwandalia mfalme chakula alipokuwa akikaa Mahanaimu,+ kwa maana alikuwa mwanamume mkuu+ sana. 2 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:32 Mnara wa Mlinzi (Funzo),9/2018, uku. 9
32 Na Barzilai alikuwa mzee sana, akiwa na umri wa miaka 80;+ naye alimwandalia mfalme chakula alipokuwa akikaa Mahanaimu,+ kwa maana alikuwa mwanamume mkuu+ sana.