2 Samweli 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alifanya kazi ya kuweka kumbukumbu. 2 Samweli 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Daudi aliposikia habari hizo, akamtuma Yoabu na jeshi lote, kutia ndani mashujaa wake hodari zaidi.+
16 Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alifanya kazi ya kuweka kumbukumbu.
7 Daudi aliposikia habari hizo, akamtuma Yoabu na jeshi lote, kutia ndani mashujaa wake hodari zaidi.+