Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 17:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Tafadhali, niruhusu nichague wanaume 12,000 niende kumfuatia Daudi usiku wa leo. 2 Nitamkuta akiwa amechoka na akiwa dhaifu,*+ kisha nitamtia woga; na watu wote walio pamoja naye watakimbia, nami nitamuua mfalme peke yake.+ 3 Halafu nitawarudisha watu wote kwako. Kurudi kwa watu wote kunategemea kitakachompata mtu unayemtafuta. Kisha watu wote watakuwa na amani.”

  • Maombolezo 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Pumzi ya mianzi ya pua zetu, mtiwa-mafuta wa Yehova,+ amenaswa katika shimo lao kubwa,+

      Yule tuliyesema hivi kumhusu: “Tutaishi chini ya kivuli chake miongoni mwa mataifa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki