2 Samweli 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa upanga hautaondoka nyumbani mwako,+ kwa sababu ulinidharau kwa kumchukua mke wa Uria Mhiti awe mke wako.’ Methali 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini waovu, wataangamizwa kutoka duniani,+Na wenye hila watang’olewa kutoka ndani yake.+ Methali 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yeyote anayemtukana baba yake na mama yake,Taa yake itazimwa giza litakapoingia.+ Methali 30:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jicho linalomdhihaki baba na kudharau kumtii mama+—Kunguru wa bondeni* wataling’oa,Na tai wachanga watalila.+
10 Sasa upanga hautaondoka nyumbani mwako,+ kwa sababu ulinidharau kwa kumchukua mke wa Uria Mhiti awe mke wako.’
17 Jicho linalomdhihaki baba na kudharau kumtii mama+—Kunguru wa bondeni* wataling’oa,Na tai wachanga watalila.+