1 Samweli 17:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Basi Daudi akamshinda Mfilisti huyo kwa kombeo na jiwe; alimpiga Mfilisti huyo na kumuua, ingawa Daudi hakuwa na upanga mkononi mwake.+ 1 Samweli 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wanawake hao waliokuwa wakisherehekea walikuwa wakiimba hivi: “Sauli ameua maelfu yake,Na Daudi makumi yake ya maelfu.”+ 1 Samweli 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Alihatarisha uhai wake* alipomuua yule Mfilisti,+ na Yehova akawapa Waisraeli wote ushindi* mkubwa. Uliona jambo hilo, ukashangilia sana. Basi kwa nini uitendee dhambi damu isiyo na hatia kwa kuagiza Daudi auawe bila sababu?”+ 2 Samweli 5:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Basi Daudi akafanya kama Yehova alivyomwamuru, akawaua Wafilisti+ kuanzia Geba+ mpaka Gezeri.+ 2 Samweli 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wasiria wa Damasko+ walipokuja kumsaidia Mfalme Hadadezeri wa Soba, Daudi aliwaua Wasiria 22,000.+
50 Basi Daudi akamshinda Mfilisti huyo kwa kombeo na jiwe; alimpiga Mfilisti huyo na kumuua, ingawa Daudi hakuwa na upanga mkononi mwake.+
7 Wanawake hao waliokuwa wakisherehekea walikuwa wakiimba hivi: “Sauli ameua maelfu yake,Na Daudi makumi yake ya maelfu.”+
5 Alihatarisha uhai wake* alipomuua yule Mfilisti,+ na Yehova akawapa Waisraeli wote ushindi* mkubwa. Uliona jambo hilo, ukashangilia sana. Basi kwa nini uitendee dhambi damu isiyo na hatia kwa kuagiza Daudi auawe bila sababu?”+