25 Absalomu alimweka Amasa+ kuwa msimamizi wa jeshi badala ya Yoabu;+ Amasa alikuwa mwana wa mwanamume Mwisraeli aliyeitwa Ithra, aliyelala na Abigaili,+ binti ya Nahashi, dada ya Seruya, mama ya Yoabu.
13 Nanyi mnapaswa kumwambia Amasa,+ ‘Je, wewe si mfupa wangu na nyama yangu? Basi Mungu na aniadhibu, tena vikali, ikiwa hutakuwa mkuu wa jeshi langu kuanzia sasa na kuendelea badala ya Yoabu.’”+