14 Kulikuwa na jiji dogo lenye wanaume wachache; na mfalme mwenye nguvu akaja, akalizingira, na kujenga ukuta mkubwa ili kulishambulia. 15 Mtu fulani maskini lakini mwenye hekima alipatikana katika jiji hilo, naye akaliokoa kwa hekima yake. Lakini hakuna aliyemkumbuka maskini huyo.+