2 Samweli 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alifanya kazi ya kuweka kumbukumbu. 2 Samweli 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nanyi mnapaswa kumwambia Amasa,+ ‘Je, wewe si mfupa wangu na nyama yangu? Basi Mungu na aniadhibu, tena vikali, ikiwa hutakuwa mkuu wa jeshi langu kuanzia sasa na kuendelea badala ya Yoabu.’”+
16 Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alifanya kazi ya kuweka kumbukumbu.
13 Nanyi mnapaswa kumwambia Amasa,+ ‘Je, wewe si mfupa wangu na nyama yangu? Basi Mungu na aniadhibu, tena vikali, ikiwa hutakuwa mkuu wa jeshi langu kuanzia sasa na kuendelea badala ya Yoabu.’”+