20 Benaya+ mwana wa Yehoyada alikuwa mwanamume jasiri* aliyefanya mambo mengi ya kishujaa kule Kabzeeli.+ Aliwaua wana wawili wa Arieli wa Moabu, naye aliingia ndani ya shimo la maji siku ya theluji na kumuua simba.+
5 Msimamizi wa kikundi cha tatu kilichopewa zamu ya kutumikia katika mwezi wa tatu alikuwa Benaya+ mwana wa Yehoyada+ mkuu wa makuhani, na kikundi chake kilikuwa na watu 24,000.