18 Watumishi wake wote walioondoka pamoja naye* na Wakerethi wote na Wapelethi+ wote na Wagathi+ wote, watu 600 waliokuwa wamemfuata kutoka Gathi,+ wakapita mbele yake akiwachunguza.*
38 Kisha kuhani Sadoki, nabii Nathani, Benaya+ mwana wa Yehoyada, na Wakerethi na Wapelethi+ wakateremka, nao wakampandisha Sulemani juu ya nyumbu wa Mfalme Daudi,+ wakampeleka Gihoni.+
44 Mfalme alimwagiza aende pamoja na kuhani Sadoki, nabii Nathani, Benaya mwana wa Yehoyada, na Wakerethi na Wapelethi, nao wakampandisha juu ya nyumbu wa mfalme.+