1 Samweli 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Sasa Mikali+ binti ya Sauli alimpenda Daudi, Sauli akajulishwa jambo hilo, nalo likampendeza. 1 Samweli 25:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Lakini Sauli alikuwa amemchukua Mikali binti yake,+ mke wa Daudi na kumpa Palti+ mwana wa Laishi, kutoka Galimu. 2 Samweli 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha Daudi akawatuma wajumbe kwa Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akisema: “Nipe mke wangu Mikali, niliyemchumbia kwa magovi 100 ya Wafilisti.”+ 2 Samweli 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi Mikali,+ binti ya Sauli, hakuwa na watoto mpaka siku alipokufa.
44 Lakini Sauli alikuwa amemchukua Mikali binti yake,+ mke wa Daudi na kumpa Palti+ mwana wa Laishi, kutoka Galimu.
14 Kisha Daudi akawatuma wajumbe kwa Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akisema: “Nipe mke wangu Mikali, niliyemchumbia kwa magovi 100 ya Wafilisti.”+