Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+

      Alikuwa akiwasamehe* kosa lao, naye hakuwaangamiza.+

      Mara nyingi aliizuia hasira yake+

      Badala ya kuichochea ghadhabu yake yote.

  • Yeremia 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Je, Mfalme Hezekia wa Yuda na watu wote wa Yuda walimuua? Je, hakumwogopa Yehova na kumwomba Yehova kibali,* hivi kwamba Yehova akabadili nia yake* kuhusu msiba aliotangaza dhidi yao?+ Basi tuko karibu kujiletea msiba mkubwa.

  • Yoeli 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu,+

      Nanyi mrudi kwa Yehova Mungu wenu,

      Kwa maana ni mwenye huruma* na rehema, si mwepesi wa hasira,+ naye ana upendo mwingi mshikamanifu,+

      Naye atafikiria upya* msiba aliokusudia kuleta.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki