1 Samweli 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Siku hiyo Daudi akaondoka na kuendelea kumkimbia+ Sauli, hatimaye akafika kwa Mfalme Akishi wa Gathi.+ 1 Samweli 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi Daudi akaondoka pamoja na wanaume 600+ waliokuwa naye, akavuka kwenda kwa Akishi+ mwana wa Maoki, mfalme wa Gathi.
10 Siku hiyo Daudi akaondoka na kuendelea kumkimbia+ Sauli, hatimaye akafika kwa Mfalme Akishi wa Gathi.+
2 Basi Daudi akaondoka pamoja na wanaume 600+ waliokuwa naye, akavuka kwenda kwa Akishi+ mwana wa Maoki, mfalme wa Gathi.