Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Samweli akachukua mwanakondoo anayenyonya, akamtoa kwa Yehova kuwa dhabihu nzima ya kuteketezwa;+ na Samweli akamwomba Yehova awasaidie Waisraeli, naye Yehova akamjibu.+

  • 1 Samweli 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kisha ushuke na kunitangulia kwenda Gilgali,+ nami nitakufuata huko ili nitoe dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika. Unapaswa kungoja kwa siku saba mpaka nitakapofika. Halafu nitakujulisha jambo unalopaswa kufanya.”

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kisha Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ mahali hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, akasali kwa Yehova, ambaye sasa alimjibu kwa kushusha moto+ kutoka mbinguni kwenye madhabahu hiyo ya dhabihu za kuteketezwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki