Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 22:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ila tu Yehova akupe busara na uelewaji+ atakapokupa mamlaka juu ya Israeli, ili uweze kuishika sheria ya Yehova Mungu wako.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mpe mwanangu Sulemani moyo kamili,*+ ili ashike amri zako, vikumbusho vyako,+ na masharti yako na kufanya mambo haya yote na kujenga hekalu* ambalo nimelifanyia matayarisho.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kisha Mungu akamwambia Sulemani: “Kwa sababu moyo wako unatamani jambo hilo, nawe hukuomba mali, utajiri, wala heshima wala hukuomba wale wanaokuchukia wafe, wala hukuomba maisha marefu,* lakini umeomba hekima na ujuzi ili uwahukumu watu wangu ambao nimekuweka uwe mfalme wao,+ 12 nitakupa hekima na ujuzi; lakini nitakupa pia mali na utajiri na heshima, kuliko mfalme yeyote kabla yako na mfalme yeyote baada yako.”+

  • Methali 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Jinsi lilivyo jambo bora kupata hekima kuliko dhahabu!+

      Ni bora kuchagua uelewaji kuliko fedha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki