Yoshua 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Katika maeneo ya Isakari na Asheri, watu wa kabila la Manase walipewa Beth-sheani na miji yake, Ibleamu+ na miji yake, Dori+ na miji yake, En-dori+ na miji yake, Taanaki+ na miji yake, Megido na miji yake, maeneo matatu yenye milima. 1 Samweli 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Siku iliyofuata, Wafilisti walipokuja kuwavua waliouawa vitu walivyokuwa navyo, walimkuta Sauli na wanawe watatu wakiwa wameanguka kwenye Mlima Gilboa.+ 1 Samweli 31:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha wakaweka silaha zake katika nyumba ya sanamu za Ashtorethi na kuitundika maiti yake kwenye ukuta wa Beth-shani.+
11 Katika maeneo ya Isakari na Asheri, watu wa kabila la Manase walipewa Beth-sheani na miji yake, Ibleamu+ na miji yake, Dori+ na miji yake, En-dori+ na miji yake, Taanaki+ na miji yake, Megido na miji yake, maeneo matatu yenye milima.
8 Siku iliyofuata, Wafilisti walipokuja kuwavua waliouawa vitu walivyokuwa navyo, walimkuta Sauli na wanawe watatu wakiwa wameanguka kwenye Mlima Gilboa.+
10 Kisha wakaweka silaha zake katika nyumba ya sanamu za Ashtorethi na kuitundika maiti yake kwenye ukuta wa Beth-shani.+