11 Katika maeneo ya Isakari na Asheri, watu wa kabila la Manase walipewa Beth-sheani na miji yake, Ibleamu+ na miji yake, Dori+ na miji yake, En-dori+ na miji yake, Taanaki+ na miji yake, Megido na miji yake, maeneo matatu yenye milima.
27 Watu wa kabila la Manase hawakumiliki Beth-sheani na miji yake,* Taanaki+ na miji yake, Dori na miji yake, Ibleamu na miji yake, na Megido na miji yake.+ Wakanaani hawakukubali kutoka katika nchi hiyo.