9 Majengo hayo yote yalijengwa kwa mawe ghali+ yaliyochongwa kwa vipimo, yaliyokatwa ndani na nje kwa misumeno ya mawe, kuanzia kwenye msingi mpaka juu ya ukuta, na upande wa nje mpaka kwenye ule ua mkuu.+
2 Kisha Daudi akaagiza wakaaji wageni+ waliokuwa katika nchi ya Israeli wakusanywe, naye akawapa kazi ya kukata mawe na kuyachonga ili yatumiwe kujenga nyumba ya Mungu wa kweli.+