Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 9:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Watu wengine wote waliobaki miongoni mwa Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi,+ ambao hawakuwa sehemu ya taifa la Israeli,+ 21 wazao wao waliobaki nchini, ambao Waisraeli walishindwa kuwaangamiza, Sulemani aliwaandikisha ili wafanye kazi ya kulazimishwa kama watumwa mpaka leo hii.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 2:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha Sulemani akawahesabu wanaume wote waliokuwa wakaaji wageni katika nchi ya Israeli,+ baada ya ile hesabu ya watu ambayo Daudi baba yake alikuwa amechukua,+ wakapatikana wanaume 153,600. 18 Kwa hiyo akawaweka watu 70,000 kati yao kuwa vibarua,* 80,000 kuwa wakataji wa mawe+ milimani, na 3,600 kuwa waangalizi wa kuhakikisha kwamba watu wanafanya kazi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki