17 Kwa agizo la mfalme, walichimbua mawe makubwa, mawe yenye thamani,+ ili yachongwe+ na kutumiwa kujenga msingi+ wa nyumba hiyo. 18 Kwa hiyo wajenzi wa Sulemani na wajenzi wa Hiramu na Wagebali+ walikata mawe, na kutayarisha mbao na mawe ya kujengea nyumba hiyo.