16 basi, mimi nitawatendea mambo haya: nitawaadhibu kwa taabu, kwa kifua kikuu na homa kali, na kufanya macho yenu yadhoofike na uhai wenu uzorote.* Mtapanda mbegu zenu bure, kwa maana maadui wenu watazila.+
25 Kwa hiyo kukawa na njaa kali+ sana huko Samaria, nao wakalizingira jiji hilo mpaka kichwa cha punda+ kikawa na thamani ya vipande 80 vya fedha, na robo ya kipimo cha kabi* cha mavi ya njiwa ikawa na thamani ya vipande vitano vya fedha.