26 Nitakapoharibu hifadhi yenu ya* mikate,+ wanawake kumi wataoka mikate kwenye jiko moja tu na kuwapimia mikate kwa mizani;+ nanyi mtakula lakini hamtashiba.+
15 “Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu kwa kuwa waangalifu kutenda amri zake zote na sheria zake ninazowaamuru leo, laana hizi zote zitawajia na kuwatangulia:+