-
2 Mambo ya Nyakati 8:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Huo ndio wakati ambapo Sulemani alienda Esion-geberi+ na Elothi+ kwenye ufuo wa bahari katika nchi ya Edomu.+ 18 Hiramu+ aliwatuma watumishi wake mwenyewe wampelekee meli na mabaharia wenye uzoefu. Wakaenda Ofiri+ pamoja na watumishi wa Sulemani, wakachukua huko talanta 450* za dhahabu+ na kumletea Mfalme Sulemani.+
-