Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Basi tuliwapita ndugu zetu, wazao wa Esau,+ wanaokaa Seiri, tukaepuka njia ya Araba, kutoka Elathi na kutoka Esion-geberi.+

      “Kisha tukageuka na kupitia njia ya nyika ya Moabu.+

  • 2 Wafalme 14:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kisha watu wote wa Yuda wakamchukua Azaria,*+ aliyekuwa na umri wa miaka 16,+ wakamweka kuwa mfalme baada ya Amazia baba yake.+ 22 Alijenga upya jiji la Elathi+ na kulirudisha kwa Yuda baada ya mfalme* kuzikwa pamoja na mababu zake.+

  • 2 Wafalme 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wakati huo Mfalme Resini wa Siria akarudisha Elathi+ kwa Edomu, kisha akawafukuza Wayahudi* kutoka Elathi. Na Waedomu wakaingia Elathi, nao wamekuwa wakiishi humo tangu wakati huo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki