Yoshua 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baada ya kuitiisha nchi,+ Waisraeli wote wakakusanyika Shilo+ na kupiga hema la mkutano+ huko. 1 Samweli 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Watu waliporudi kambini, wazee wa Israeli wakasema hivi: “Kwa nini Yehova ameruhusu tushindwe leo na Wafilisti?*+ Na tujichukulie sanduku la agano la Yehova kutoka Shilo,+ twende nalo ili lituokoe kutoka mikononi mwa maadui wetu.”
3 Watu waliporudi kambini, wazee wa Israeli wakasema hivi: “Kwa nini Yehova ameruhusu tushindwe leo na Wafilisti?*+ Na tujichukulie sanduku la agano la Yehova kutoka Shilo,+ twende nalo ili lituokoe kutoka mikononi mwa maadui wetu.”