Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Yehoshafati alikuwa na umri wa miaka 35 alipowekwa kuwa mfalme, naye alitawala kwa miaka 25 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Azuba binti ya Shilhi.

  • 2 Mambo ya Nyakati 17:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova aliendelea kuwa pamoja na Yehoshafati kwa sababu alitembea katika njia za awali za Daudi babu yake+ naye hakutafuta Mabaali. 4 Kwa maana alimtafuta Mungu wa baba yake+ na kufuata* amri yake wala si mazoea ya Waisraeli.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehoshafati alikuwa na utajiri na utukufu mwingi,+ lakini alifanya mapatano ya ndoa pamoja na Ahabu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yehoshafati akaendelea kuishi Yerusalemu, naye akatoka tena na kwenda kukutana na watu kuanzia Beer-sheba mpaka kwenye eneo lenye milima la Efraimu,+ ili awarudishe kwa Yehova Mungu wa mababu zao.+

  • Mathayo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Asa akawa baba ya Yehoshafati;+

      Yehoshafati akawa baba ya Yehoramu;+

      Yehoramu akawa baba ya Uzia;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki