Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu kwa kuwa waangalifu kutenda amri zake zote na sheria zake ninazowaamuru leo, laana hizi zote zitawajia na kuwatangulia:+

  • Kumbukumbu la Torati 28:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Anga lililo juu ya vichwa vyenu litakuwa shaba, na dunia iliyo chini yenu itakuwa chuma.+

  • Yeremia 14:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Je, kuna sanamu yoyote kati ya sanamu za ubatili za mataifa inayoweza kuleta mvua,

      Au, je, hata mbingu zinaweza kuleta mvua zenyewe?

      Je, si Wewe peke yako, Ee Yehova Mungu wetu?+

      Nasi tunakutumaini,

      Kwa maana wewe peke yako ndiye uliyefanya mambo hayo yote.

  • Luka 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa mfano, kwa kweli ninawaambia: Kulikuwa na wajane wengi Israeli siku za Eliya, mbingu zilipofungwa kwa miaka mitatu na miezi sita, kukawa na njaa kubwa katika nchi yote.+

  • Yakobo 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Eliya alikuwa mtu mwenye hisia kama zetu, na bado aliposali kwa bidii mvua isinyeshe, haikunyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na miezi sita.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki