17 Kama sivyo, hasira ya Yehova itawaka dhidi yenu, naye atafunga mbingu hivi kwamba mvua haitanyesha+ na ardhi haitazaa mazao yake nanyi mtaangamia upesi kutoka katika nchi nzuri ambayo Yehova anawapa ninyi.+
17Sasa Eliya*+ Mtishbi, mkaaji wa Gileadi,+ alimwambia hivi Ahabu: “Kwa hakika kama anavyoishi Yehova Mungu wa Israeli ninayemtumikia,* katika miaka hii hakutakuwa na umande wala mvua isipokuwa kwa neno langu!”+