1 Wafalme 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na Eliya+ Mtishbi kutoka kwa wakaaji wa Gileadi+ akamwambia Ahabu: “Kama anavyoishi+ Yehova Mungu wa Israeli, ambaye ninasimama mbele zake,+ miaka hii hakutakuwa na umande wala mvua,+ isipokuwa kwa agizo la neno langu!”+ 1 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 17:1 Mnara wa Mlinzi,4/1/1992, uku. 1711/1/1990, uku. 16
17 Na Eliya+ Mtishbi kutoka kwa wakaaji wa Gileadi+ akamwambia Ahabu: “Kama anavyoishi+ Yehova Mungu wa Israeli, ambaye ninasimama mbele zake,+ miaka hii hakutakuwa na umande wala mvua,+ isipokuwa kwa agizo la neno langu!”+