Zaburi 37:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+ Mathayo 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Utupatie leo mkate wetu kwa ajili ya siku hii;+
25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+