-
Mathayo 10:41, 42Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
41 Yeyote anayempokea nabii kwa sababu ni nabii atapata thawabu ya nabii,+ na yeyote anayempokea mtu mwadilifu kwa sababu ni mwadilifu atapata thawabu ya mtu mwadilifu. 42 Na yeyote anayempa mmoja wa hawa wadogo kikombe tu cha maji baridi ya kunywa kwa sababu ni mwanafunzi wangu, kwa kweli ninawaambia, hatapoteza kamwe thawabu yake.”+
-