Mathayo 25:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Mfalme atawajibu, ‘Kwa kweli ninawaambia, kwa kadiri ambavyo mlimtendea aliye mdogo zaidi kati ya hawa ndugu zangu, mlinitendea mimi.’+ Marko 9:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Na yeyote anayewapa kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu ninyi ni wa Kristo,+ kwa kweli ninawaambia hatapoteza kamwe thawabu yake.+ Waebrania 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuhudumu na kuendelea kuwahudumia watakatifu.
40 Mfalme atawajibu, ‘Kwa kweli ninawaambia, kwa kadiri ambavyo mlimtendea aliye mdogo zaidi kati ya hawa ndugu zangu, mlinitendea mimi.’+
41 Na yeyote anayewapa kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu ninyi ni wa Kristo,+ kwa kweli ninawaambia hatapoteza kamwe thawabu yake.+
10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuhudumu na kuendelea kuwahudumia watakatifu.