Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Sasa mwambie hivi mtumishi wangu Daudi: ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nilikutoa malishoni, ili usiendelee kuchunga kondoo,+ uwe kiongozi wa watu wangu Waisraeli.+

  • 2 Samweli 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Siku zako zitakapokwisha+ nawe ufe na kuzikwa pamoja na mababu zako, ndipo nitakapomwinua mzao wako* baada yako, mwana wako mwenyewe,* nami nitauimarisha kabisa ufalme wake.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Sulemani akaketi kwenye kiti cha ufalme cha Yehova+ akiwa mfalme baada ya Daudi baba yake, akafanikiwa, na Waisraeli wote walimtii.

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Sulemani mwana wa Daudi alizidi kuimarika katika utawala wake, na Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye, akamfanya kuwa mkuu sana.+

  • Zaburi 89:36, 37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Uzao wake utadumu* milele;+

      Kiti chake cha ufalme kitadumu kama jua mbele zangu.+

      37 Kama mwezi, kitaimarishwa kabisa milele

      Kama shahidi mwaminifu angani.” (Sela)

  • Zaburi 132:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wana wako wakilishika agano langu

      Na vikumbusho vyangu ninavyowafundisha,+

      Wana wao pia

      Wataketi kwenye kiti chako cha ufalme milele.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki