Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Benaya+ mwana wa Yehoyada aliwasimamia Wakerethi na Wapelethi.+ Na wana wa Daudi walikuwa wahudumu wakuu.*

  • 1 Wafalme 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini kuhani Sadoki,+ Benaya+ mwana wa Yehoyada, nabii Nathani,+ Shimei,+ Rei, na wale mashujaa hodari wa Daudi+ hawakumuunga mkono Adoniya.

  • 1 Mambo ya Nyakati 27:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Msimamizi wa kikundi cha tatu kilichopewa zamu ya kutumikia katika mwezi wa tatu alikuwa Benaya+ mwana wa Yehoyada+ mkuu wa makuhani, na kikundi chake kilikuwa na watu 24,000.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki