Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 20:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na katika eneo la Yordani, upande wa mashariki wa Yeriko, wakachagua jiji la Beseri+ lililo nyikani kwenye uwanda wa juu katika eneo la kabila la Rubeni, Ramothi+ kule Gileadi katika eneo la kabila la Gadi, na Golani+ kule Bashani katika eneo la kabila la Manase.+

      9 Hayo ndiyo majiji yaliyochaguliwa kwa ajili ya Waisraeli wote na wageni walioishi kati yao, ili mtu yeyote atakayemuua mwenzake bila kukusudia akimbilie humo,+ ili asiuawe na mtu anayetaka kulipiza kisasi cha damu mpaka kesi yake isikilizwe mbele ya kusanyiko.+

  • 1 Wafalme 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Sulemani alikuwa na wasaidizi 12 waliowasimamia Waisraeli wote waliomwandalia chakula mfalme na nyumba yake. Kila mmoja wao alikuwa na jukumu la kuandaa chakula mwezi mmoja kwa mwaka.+

  • 1 Wafalme 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 mwana wa Geberi, kule Ramothi-gileadi+ (alisimamia vijiji vya mahema vya Yairi+ mwana wa Manase, vilivyoko Gileadi;+ alisimamia pia eneo la Argobu,+ lililoko Bashani:+ majiji makubwa 60 yenye kuta na makomeo ya shaba);

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki