Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa Abiathari+ mwana wa Ahimeleki alipokimbia kwenda kwa Daudi huko Keila, alikuwa na efodi.

  • 2 Samweli 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Sadoki+ pia alikuwa mahali hapo pamoja na Walawi wote+ waliobeba sanduku+ la agano la Mungu wa kweli;+ nao wakaliweka chini Sanduku la Mungu wa kweli; Abiathari+ pia alikuwepo watu wote walipovuka kutoka jijini.

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tena, Daudi akawaita makuhani Sadoki+ na Abiathari+ na Walawi Urieli, Asaya, Yoeli, Shemaya, Elieli, na Aminadabu, 12 akawaambia: “Ninyi ndio viongozi wa koo* za Walawi. Jitakaseni, ninyi na ndugu zenu, nanyi mlipandishe Sanduku la Yehova, Mungu wa Israeli mpaka mahali ambapo nimetayarisha kwa ajili yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki