37Kisha Bezaleli+ akatengeneza sanduku la agano+ kwa mbao za mshita. Lilikuwa na urefu wa mikono miwili na nusu* na upana wa mkono mmoja na nusu na kimo cha mkono mmoja na nusu.+
2 Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni ndugu yako asiingie mahali patakatifu+ nyuma ya pazia+ mbele ya kifuniko cha sanduku la agano wakati wowote tu, asije akafa,+ kwa sababu nitatokea katika wingu juu ya kifuniko hicho.+