Isaya 30:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana wao ni watu waasi,+ wana wadanganyifu,+Wana wasiotaka kusikia sheria* ya Yehova.+ 10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’ Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+ Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+ Yeremia 38:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakuu wakamwambia mfalme: “Tafadhali agiza mtu huyu auawe,+ kwa maana hivyo ndivyo anavyoidhoofisha mioyo* ya wanajeshi waliobaki jijini, na pia ya watu wote, kwa kuwaambia maneno hayo. Kwa maana mtu huyu hawatakii amani watu hawa, bali msiba.”
9 Kwa maana wao ni watu waasi,+ wana wadanganyifu,+Wana wasiotaka kusikia sheria* ya Yehova.+ 10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’ Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+ Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+
4 Wakuu wakamwambia mfalme: “Tafadhali agiza mtu huyu auawe,+ kwa maana hivyo ndivyo anavyoidhoofisha mioyo* ya wanajeshi waliobaki jijini, na pia ya watu wote, kwa kuwaambia maneno hayo. Kwa maana mtu huyu hawatakii amani watu hawa, bali msiba.”